Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 7:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walipokusanyika kule jangwani, Mose ndiye aliyekuwako huko kama mjumbe kati ya hao wazee wetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani Sinai. Ndiye aliyekabidhiwa yale maneno ya uhai atupe sisi.

Kusoma sura kamili Matendo 7

Mtazamo Matendo 7:38 katika mazingira