Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 5:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kabla ya kuliuza lilikuwa mali yako, na baada ya kuliuza, bado hizo fedha zilikuwa zako uzitumie utakavyo. Kwa nini basi, uliamua moyoni mwako kufanya jambo la namna hii? Hukumdanganya mtu; umemdanganya Mungu!”

Kusoma sura kamili Matendo 5

Mtazamo Matendo 5:4 katika mazingira