Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 4:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na Mlawi mmoja, mzaliwa wa Kupro, jina lake Yosefu, ambaye mitume walimwita Barnaba (maana yake, “Mtu mwenye kutia moyo”).

Kusoma sura kamili Matendo 4

Mtazamo Matendo 4:36 katika mazingira