Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 3:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, Mungu wa babu zetu amemtukuza mtumishi wake Yesu. Yeye ndiye yuleyule mliyemtia mikononi mwa wakuu na kumkataa mbele ya Pilato hata baada ya Pilato kuamua kumwacha huru.

Kusoma sura kamili Matendo 3

Mtazamo Matendo 3:13 katika mazingira