Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 28:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale watu walikuwa wakitazamia kwamba angevimba au angeanguka chini na kufa ghafla. Baada ya kungojea kwa muda mrefu bila kuona kwamba Paulo amepatwa na jambo lolote lisilo la kawaida, walibadilisha fikira zao juu yake, wakasema kuwa yeye ni mungu.

Kusoma sura kamili Matendo 28

Mtazamo Matendo 28:6 katika mazingira