Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 28:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wenyeji wa pale walipokiona kile kiumbe kinaninginia kwenye mkono wake waliambiana, “Bila shaka mtu huyu amekwisha ua mtu, na ingawa ameokoka kuangamia baharini, ‘Haki’ haitamwacha aendelee kuishi!”

Kusoma sura kamili Matendo 28

Mtazamo Matendo 28:4 katika mazingira