Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 28:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku tatu, Paulo aliwaita pamoja viongozi wa Kiyahudi wa mahali hapo. Walipokusanyika, Paulo aliwaambia, “Wananchi wenzangu, mimi, ingawa sikufanya chochote kibaya wala kupinga desturi za wazee wetu, nilitiwa nguvuni kule Yerusalemu na kutiwa mikononi mwa Waroma.

Kusoma sura kamili Matendo 28

Mtazamo Matendo 28:17 katika mazingira