Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 25:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu aadhibiwe kabla mshtakiwa hajakutana na washtaki wake ana kwa ana na kupewa fursa ya kujitetea kuhusu hayo mashtaka.

Kusoma sura kamili Matendo 25

Mtazamo Matendo 25:16 katika mazingira