Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 25:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, ikiwa nimepatikana na kosa linalostahili adhabu ya kifo, siombi kusamehewa adhabu hiyo. Lakini kama hakuna ukweli katika mashtaka waliyotoa watu hawa, hakuna awezaye kunikabidhi kwao. Nakata rufani kwa Kaisari!”

Kusoma sura kamili Matendo 25

Mtazamo Matendo 25:11 katika mazingira