Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 25:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Siku tatu baada ya kufika mkoani, Festo alitoka Kaisarea, akaenda Yerusalemu.

2. Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo

Kusoma sura kamili Matendo 25