Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 24:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Tunalipokea jambo hili kwa furaha daima na kutoa shukrani nyingi kwako kila mahali.

4. Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi, tunakusihi kwa wema wako, usikilize taarifa yetu fupi.

5. Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi wa kile chama cha Wanazareti.

6. Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. [Tulitaka kumhukumu kufuatana na sheria yetu.

Kusoma sura kamili Matendo 24