Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 24:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku chache, Felisi alifika pamoja na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini Yesu Kristo.

Kusoma sura kamili Matendo 24

Mtazamo Matendo 24:24 katika mazingira