Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 24:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku tano, kuhani mkuu Anania aliwasili Kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye Tertulo. Walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya Paulo.

Kusoma sura kamili Matendo 24

Mtazamo Matendo 24:1 katika mazingira