Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 23:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni Masadukayo na nyingine Mafarisayo. Basi, alipaza sauti yake mbele ya Baraza, “Ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka.”

Kusoma sura kamili Matendo 23

Mtazamo Matendo 23:6 katika mazingira