Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 23:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, “Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukuambia.”

Kusoma sura kamili Matendo 23

Mtazamo Matendo 23:18 katika mazingira