Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 23:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Paulo aliwakodolea macho wale wanabaraza, halafu akaanza kusema, “Ndugu zangu, mpaka hivi leo nimekuwa nikiishi na dhamiri njema mbele ya Mungu.”

Kusoma sura kamili Matendo 23

Mtazamo Matendo 23:1 katika mazingira