Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 22:23-25 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.

24. Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.

25. Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, “Je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?”

Kusoma sura kamili Matendo 22