Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 21:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara, mkuu wa jeshi akawachukua askari na jemadari, akalikabili lile kundi la watu. Nao walipomwona mkuu wa jeshi na askari, wakaacha kumpiga Paulo.

Kusoma sura kamili Matendo 21

Mtazamo Matendo 21:32 katika mazingira