Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 21:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Alitujia, akachukua mkanda wa Paulo, akajifunga mikono na miguu, akasema, “Roho Mtakatifu asema hivi: ‘Wayahudi kule Yerusalemu watamfunga namna hii mtu mwenye mkanda huu na kumtia mikononi mwa watu wa mataifa.’”

Kusoma sura kamili Matendo 21

Mtazamo Matendo 21:11 katika mazingira