Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kijana mmoja aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye usingizi ukambana, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha kufa.

Kusoma sura kamili Matendo 20

Mtazamo Matendo 20:9 katika mazingira