Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 19:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Paulo akasema, “Ubatizo wa Yohane ulikuwa wa kuonesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani Yesu.”

Kusoma sura kamili Matendo 19

Mtazamo Matendo 19:4 katika mazingira