Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 19:39-41 Biblia Habari Njema (BHN)

39. Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.

40. Kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana na vituko vya leo. Ghasia hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo.”

41. Baada ya kusema hayo, aliuvunja mkutano.

Kusoma sura kamili Matendo 19