Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 18:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipompinga na kuanza kumtukana, aliyakunguta mavazi yake mbele yao akisema, “Mkipotea ni shauri lenu wenyewe; mimi sina lawama yoyote juu ya jambo hilo. Na tangu sasa nitawaendea watu na mataifa mengine.”

Kusoma sura kamili Matendo 18

Mtazamo Matendo 18:6 katika mazingira