Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 18:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Huko Korintho, alimkuta Myahudi mmoja aitwaye Akula, mzaliwa wa Ponto. Akula pamoja na mkewe aitwaye Priskila, walikuwa wamerudi kutoka Italia siku hizohizo kwa sababu Kaisari Klaudio alikuwa ameamuru Wayahudi wote waondoke Roma. Paulo alikwenda kuwaona,

Kusoma sura kamili Matendo 18

Mtazamo Matendo 18:2 katika mazingira