Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 17:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Wayahudi wakaona wivu; wakawakodi wafidhuli sokoni, wakafanya kikundi na kuzusha fujo mjini kote. Wakaivamia nyumba ya Yasoni wakitumaini kuwapata humo Paulo na Sila ili wawalete hadharani.

Kusoma sura kamili Matendo 17

Mtazamo Matendo 17:5 katika mazingira