Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 17:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Wengine waliofuata falsafa ya Epikuro na Stoiki walibishana naye. Wengine walisema, “Anataka kusema nini huyu bwanamaneno?” Kwa kuwa Paulo alikuwa anahubiri juu ya Yesu na juu ya ufufuo, wengine walisema, “Inaonekana kama anahubiri juu ya miungu ya kigeni.”

Kusoma sura kamili Matendo 17

Mtazamo Matendo 17:18 katika mazingira