Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 17:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale ndugu waliomsindikiza Paulo walikwenda pamoja naye mpaka Athene. Kisha, wakarudi pamoja na maagizo kutoka kwa Paulo kwamba Sila na Timotheo wamfuate upesi iwezekanavyo.

Kusoma sura kamili Matendo 17

Mtazamo Matendo 17:15 katika mazingira