Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 16:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya huyo mama pamoja na jamaa yake kubatizwa, alitualika akisema, “Kama kweli mmeona kwamba mimi namwamini Bwana, karibuni nyumbani kwangu mkakae.” Akatuhimiza twende.

Kusoma sura kamili Matendo 16

Mtazamo Matendo 16:15 katika mazingira