Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 15:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini waumini wengine waliokuwa wa kikundi cha Mafarisayo walisimama, wakasema, “Ni lazima watu wa mataifa mengine watahiriwe na kufundishwa kuifuata sheria.”

Kusoma sura kamili Matendo 15

Mtazamo Matendo 15:5 katika mazingira