Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 14:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye kuhani wa hekalu la Zeu lililokuwa nje ya mji akaleta fahali na shada za maua mbele ya mlango mkuu wa mji, naye pamoja na ule umati wa watu akataka kuwatambikia mitume.

Kusoma sura kamili Matendo 14

Mtazamo Matendo 14:13 katika mazingira