Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 13:51-52 Biblia Habari Njema (BHN)

51. Basi, mitume wakayakunguta mavumbi yaliyokuwa katika miguu yao kama onyo, kisha wakaenda Ikonio.

52. Lakini hao wafuasi walikuwa wamejaa furaha na Roho Mtakatifu.

Kusoma sura kamili Matendo 13