Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 13:43 Biblia Habari Njema (BHN)

Mkutano huo ulipomalizika, Wayahudi wengi na watu wa mataifa mengine waliokuwa wameongokea dini ya Kiyahudi waliwafuata Paulo na Barnaba. Hao mitume waliongea nao, wakawatia moyo waendelee kuishi wakitegemea neema ya Mungu.

Kusoma sura kamili Matendo 13

Mtazamo Matendo 13:43 katika mazingira