Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 12:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.

Kusoma sura kamili Matendo 12

Mtazamo Matendo 12:10 katika mazingira