Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 12:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.

2. Alimuua kwa upanga Yakobo, ndugu yake Yohane.

3. Alipoona kuwa kitendo hicho kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu).

Kusoma sura kamili Matendo 12