Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 11:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Waliposikia hayo, waliacha ubishi, wakamtukuza Mungu wakisema, “Mungu amewapa watu wa mataifa mengine nafasi ya kutubu wapate uhai!”

Kusoma sura kamili Matendo 11

Mtazamo Matendo 11:18 katika mazingira