Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 11:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mitume na ndugu kule Yudea walisikia kwamba watu wa mataifa mengine pia walikuwa wamelipokea neno la Mungu.

2. Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:

3. “Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!

Kusoma sura kamili Matendo 11