Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 10:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Petro akawaambia, “Nyinyi wenyewe mnajua kwamba Myahudi yeyote amekatazwa na sheria yake ya dini kushirikiana na watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amenijulisha nisimfikirie mtu yeyote kuwa najisi au mchafu.

Kusoma sura kamili Matendo 10

Mtazamo Matendo 10:28 katika mazingira