Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 10:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Wao wakamjibu, “Jemadari Kornelio ambaye ni mtu mwema, mcha Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote, ametutuma. Aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema.”

Kusoma sura kamili Matendo 10

Mtazamo Matendo 10:22 katika mazingira