Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 9:31 Biblia Habari Njema (BHN)

kwa sababu alikuwa anawafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, “Mwana wa Mtu atakabidhiwa kwa watu ambao watamuua; lakini siku ya tatu baada ya kuuawa atafufuka.”

Kusoma sura kamili Marko 9

Mtazamo Marko 9:31 katika mazingira