Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 8:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisicho na uaminifu kwa Mungu, anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo, wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”

Kusoma sura kamili Marko 8

Mtazamo Marko 8:38 katika mazingira