Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 8:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alianza kuwafundisha wanafunzi wake kwamba ni lazima Mwana wa Mtu apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wazee na makuhani wakuu na waalimu wa sheria. Kwamba atauawa, na baada ya siku tatu atafufuka.

Kusoma sura kamili Marko 8

Mtazamo Marko 8:31 katika mazingira