Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 7:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mafarisayo na waalimu wa sheria wakamwuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawafuati mapokeo tuliyoyapokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono najisi?”

Kusoma sura kamili Marko 7

Mtazamo Marko 7:5 katika mazingira