Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 6:6-9 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Alishangaa sana kwa sababu ya kutoamini kwao.Kisha Yesu alivitembelea vijiji vya pale karibu akiwafundisha watu.

7. Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili, akaanza kuwatuma wawiliwawili. Aliwapa uwezo wa kuwafukuza pepo wachafu;

8. akawaamuru: “Msichukue chochote mnapokwenda isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni.

9. Vaeni viatu lakini msichukue koti la ziada.”

Kusoma sura kamili Marko 6