Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 6:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.

2. Siku ya Sabato ilipofika, alianza kufundisha katika sunagogi. Wengi waliomsikia walishangaa, wakasema, “Je, ameyapata wapi mambo haya? Ni hekima gani hii aliyopewa? Tena, anatendaje maajabu haya anayoyafanya?

Kusoma sura kamili Marko 6