Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 5:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yesu akamkatalia. Badala yake akamwambia, “Nenda nyumbani kwa jamaa yako, ukawaambie mambo yote Bwana aliyokutendea na jinsi alivyokuonea huruma.”

Kusoma sura kamili Marko 5

Mtazamo Marko 5:19 katika mazingira