Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 5:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, wakafika katika nchi ya Wagerase, ngambo ya ziwa.

2. Mara tu Yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye.

3. Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.

Kusoma sura kamili Marko 5