Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 2:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sababu ya huo umati wa watu, hawakuweza kumpeleka karibu na Yesu. Basi, wakatoboa sehemu ya paa iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa Yesu. Walipokwisha pata nafasi, wakamteremsha huyo mtu akiwa amelala juu ya mkeka.

Kusoma sura kamili Marko 2

Mtazamo Marko 2:4 katika mazingira