Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 2:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati mmoja wanafunzi wa Yohane na wanafunzi wa Mafarisayo walikuwa wanafunga. Basi, watu wakaja, wakamwuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wa Yohane na wa Mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”

Kusoma sura kamili Marko 2

Mtazamo Marko 2:18 katika mazingira