Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Yesu alikuwa amekaa mezani, nyumbani kwa Lawi, kula chakula. Watozaushuru wengi na wenye dhambi walikuwa wamemfuata Yesu na wengi wao wakawa wamekaa mezani pamoja naye na wanafunzi wake.

Kusoma sura kamili Marko 2

Mtazamo Marko 2:15 katika mazingira