Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 16:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwishowe Yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. Akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.

Kusoma sura kamili Marko 16

Mtazamo Marko 16:14 katika mazingira